HATIMAYE Samweli Sitta na Lowassa wakutana jijini Mwanza leo, katika safari zao za kusaka wadhamini wa kuwania Urais, ambapo walipata nafasi ya kuzungumza mambo mbalimbali huku, wakipongeza makatibu wa chama kwa kazi nzuri waliyofanya kwa kuwasaidia kazi yao ya kutafuta wadhamini kufanikiwa.
Sikiliza hapo chini kujua walichokuwa wanakizungumza.
USIKOSE KUSIKILIZA MASKANI YA 100.5TIMESFM KWA HABARI KAMILI
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

0 comments:
Post a Comment