• International News.
  • Fashion News
  • Sports News

DR CHENI ALAANI KITENDO CHA KUZUSHIWA KIFO

Baada ya kuzushiwa kufa muigizaji wa Bongo Movies Dr Cheni ameandika ujumbe mfupi kulaani kitendo hicho cha baadhi ya watu kumzushia kifo. Hali hiyo imeibuka mara baada ya msanii huyo kuugua ugonjwa wa homa ya Dengue, zaidi ya wiki moja ingawa hivi sasa yupo katika hali nzuri na ameruhusiwa kutoka hospitali.

“Jaman kifo kipo na hakuna atakaye kwepa ni lazima tutakufa na hakuna atakayebakia ila si vyema kunizushia cku yangu itafika tu na wote mtajuwa lakin si jambo la busara kunizushia.” Dr Cheni Ameandika kwenye Instagram.

Nae Elizabeth ‘Lulu’ Michael alipost picha ya Dr Cheni kwenye instagram na kuandika:

“Jamaani kuna mambo ya kuzushiana lakini sio KIFO,kuna habari zimezushwa kwamba @drchenitz Cheni amefariki....ni habari za uongo jmn....yuko salama kabisa na juzi ameruhusiwa kutoka hospital na anaendelea vzr...Tunajua kufa ni wajibu lkn mpk Mungu mwenyewe apende...!!!!Pole baba angu”
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment