• International News.
  • Fashion News
  • Sports News

NICKI WA PILI, AISHAURI SERIKALI KUBUNI VYANZO VIPYA VYA MAPATO

MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini Miondoko ya Hip Hop, Nicki wa Pili, ameitaka serikali kubuni vyanzo vipya vya mapato, na kuacha kutegemea vyanzo vya mapato vinavyotokana na kodi wafanyakazi wanaolipwa 250,000 kima cha chini.

Akizungumza na Zourhad Nicki aliweka wazi kuwa serikali itumie ubunifu kwa kutengeneza bajeti inayokidhi matumizi ya nchi, huku akiweka wazi kuwa bajeti zinazotengenezwa hivi sasa zinafanana kila mwakahali inayoonesha hakuna ubunifu wala kitu kipya katika bajeti inayoundwa na serikali kila mwaka.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment