• International News.
  • Fashion News
  • Sports News

WANANCHI WA JIJI LA DAR ES SALAAM WAJITOKEZA KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA WAPIGA KURA

 Mkazi wa Jiji la Dar es Salaam kata ya Kawe akijiandaa kupiga picha ili kukamilisha zoezi la kujiandikisha kwenye dafrati la wapiga kura

 Mkazi wa Kawe akitoa taarifa zake ikiwa ni moja ya maandalizi ya kujiandikisha kupiga kura


 Wakazi wa jiji la Dar es Salaam, wakioneshana vitambulisho vyao mara baada ya kumaliza zoezi hilo la kujiandikisha

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment