BAADA ya msanii wa filamu nchini Wema Sepetu kuibuka kuwa mshindi wa
shindano la Ijumaa Sexiest Girl mapya yaibuka huku baadhi ya wadau
wakihusisha ushindi huo pamoja na fujo zilizowahi kuripotiwa kufanywa na
msanii huyo katikia ofisi za Global Publish.
Wema aliibuka
mshindi wa Sexiest Girl zambapo shindano hilo liliandaliwa na Global
Publish huku msanii huyo akiwa amewabwaga wenzake akiwemo Jokate, Wolpa
pamoja na Lulu.
Baadhi ya watu mbalimbali wamehusisha ushindi
huo na fujo ambazo mwanadada huyo aliwahi kuzifanya katika ofisi za
Global ambazo ndizo zilizoandaa shindano hilo.
Kupitia ukurasa
wake wa Inastagram Wema aliandika juu ya ushindi huo, huku akionesha
kushangazwa na baadhi ya watu wanaoshangazwa kushinda tuzo hiyo huku
wengine wakihusisha na fujo zilizowahi kutokea.
“ If u got it
flaunt it, Ndo nishashinda kama hujapenda kasage chupa kunywa…. maana
naona sasa its too much khaaaaaaaa….! Ebu mnitue mie mtoto wa watu… And
again much love to y’all dat support me… nawapenda sana…. nimemaliza….
Award yangu ndo hiiiiiiiiooooooooo…… next year tusubiri mwingine….
nalala zangu…. tukutane kesho…. najua wengi mnanipenda ni wachache wenye
vijiba vyao vya roho…. Wema atabaki kuwa Wema tu… Bhaaaaas…
- Blogger Comment
- Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments:
Post a Comment