• International News.
  • Fashion News
  • Sports News

RYNA GIGGS AZUNGUMZIA MAN U

Ryan Giggs amefanya mkutano wake wa kwanza na waandishi wa habari kama meneja wa muda wa timu ya soka ya Manchester United kufuatia kufutwa kazi kwa David Moyes mapema wiki hii .

Ameelezea siku chache zilizopita zimekuwa kama fujo tupu kwa klabu hiyo na akaahidi kujaribu kurejesha tabasamu kwenye nyuso za mashabiki .


Hii ni kufuatia kufutwa kazi kwa meneja wa klabu hiyo David Moyes kutokana na matokeo mabaya ya klabu hiyo katika ligi ya Premier.

Alianza kwa kumshukuru Meneja wa zamani Moyes kwa kumpatia fursa ya kwanza kufanya kazi kama kocha.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment