• International News.
  • Fashion News
  • Sports News

JUMUIYA YA WAISLAM TANZANIA WAMTAKA MH. LUKUVI KUWAOMBA RADHI WAISLAM DHIDI YA KAULI YAKE

Msemaji wa Jumuiya na taasisi ya kiislam Tanzania, Rajab Katimba (kushoto), akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam na kutoa tamko na kumtaka Waziri wa Ncho ya Ofisi ya Rais, William Lukuvi kuomba radhi Waislam kutokana na kauli aliyoitoa kanisa wakati wa bunge la katiba likiendelea dhidi ya Waislam.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment