• International News.
  • Fashion News
  • Sports News

KEKELETSO PHOOFOLO KUPAMBA TAMASHA LA PASAKA

Muimbaji wa nyimbo za Injili Kekeletso Phoofolo  (aliyevaa kofia), akiwasili leo katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa jijini Dar es Salaam, tayari kwa ajili ya maandalizi ya tamasha la Pasaka litakalofanyika Dar es Salaam.

Mratibu wa tamasha la Pasaka Alex Msama, (kulia) akisalimiana na muimbaji wa nyimbo za Injili Kekeletso Phoofolo baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege jijini Dar es Salaam

Muimbaji wa nyimbo za Injili Kekeletso Phoofol (aliyebeba maua), akiwa na baadhi ya waimbaji wa nyimbo hizo za injili pamoja na waandaaji wa tamasha hilo la Pasaka mara baada ya kuwasili katika uwanja huo wa ndege jijini Dar es Salaam

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments:

Post a Comment